siku zote mm ninaamin arsenal wenger kaisha fikia mwisho wake haina haja ya kunganga kuendelea kuwa kocha kila mashabiki wa arsenal hawana furaha hiyo yote inatokana na ubahili wa wenger inatakiwa tubadilike leo VAN PARSIE kaondoka kesho utasikia WALCOT nae anataka kuondoka
ina maana sisi ni wa2 wa kubomoa tuu ha2jengi
No comments:
Post a Comment